Taarifa ambayo imeripotiwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari ni kuhusu
watu wanne kufariki kutokana na ajali ya Helikopta inayomilikiwa na
Wizara ya Maliasili na Utalii, yenye namba 5HTWA kuanguka katika eneo la
Kipunguni B, Ukonga Dar es salaam. Akizungumza na...
Read More »
No comments:
Post a Comment