Tuesday, December 23, 2014

Maximo aondoka rasmi nchini kurejea kwao nchini Brazil.

Baada ya Taarifa rasmi kutoka klabu ya Yanga December 15, 2014 kuwa kocha Mbrazil Marcio Maximo ameondoka ndani ya timu hiyo baada ya uongozi wa Yanga kufikia makubaliano naye ya kuvunja mkataba, Marcio Maximo aondoka rasmi nchini kurejea kwao nchini Brazil na ndege ya shirika la ndege la Emirates.