Mganga mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Dk. Glori Mbwile, akimkaribisha
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya pamoja na wageni waliowatembelea.
|
Mganga
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk. Seif Mhina akizungumza na watumishi wa Hospitali ya
Mkoa wa Mbeya pamoja na wageni wao kutoka Benki ya NMB Mbeya.
|
Afisa
Uhusiano wa Serikali wa Benki ya NMB Kanda ya Mbeya, Focus Lubende, akifafanua
baadhi ya mambo kwa watumishi wa hospitali ya mkoa wa Mbeya.
|
Meneja
wa NMB Kanda ya Mbeya, Lecresia Makiriye, akizungumza na Watumishi wa Hospitali
ya Mkoa wa Mbeya kuhusu lengo lao la kutembelea Hospitali hiyo.
|
Mganga
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk. Seif Mhina akipokea msaada wa magodoro kutoka kwa
meneja wa NMB Kanda ya Mbeya.
|
Mganga mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Dk. Mbwile akipokea msaada wa
magodoro kutoka kwa Meneja wa NMB kanda ya Mbeya.
|
Baadhi
ya watumishi wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya wakisaidiana na uongozi wa hospitali
kupokea msaada wa magodoro kutoka kwa wafanyakazi wa NMB.
|